UTABIRI: Lady Jay Dee Kuolewa na Mwanaume Tajiri..Lakini Afya yake Itadhoofu

KUANGALIA PICHA HIZI HAKIKISHA UNAMIAKA 18+, BONYEZA HAPO CHINI


Baada ya Kutemana na aliyekuwa Mpenzi wake wa muda Mrefu Gadner G Habash Sasa Lady Jay Dee Kuolewa na Mwanaume Tajiri.

Hayo yalisemwa na Mtabiri wake wa Nyota ambae alimkaribisha kwenye kipindi chake cha Diary ya lady Jaydee ambapo huweka wazi mambo kuhusu Maisha yake .

Mbali ya kuolewa Mtabiri huyu ametabiri Lady Jay Dee Mwaka Huu Utakuwa wa mafanikio kwake Kipesa kupitia Muziki wake lakini kiafya atakuwa na homa za mara kwa mara na kuwa dhoofu kiafya kitu ambacho kitamfanya kufikiria kifo ...

~Gazeti la Kiu
ANGALIA PICA ZA WASICHA WENYE MAKALIO MAKUBWA ZAIDI DUNIA, BONYEZA HAPO CHINI

0 Response to "UTABIRI: Lady Jay Dee Kuolewa na Mwanaume Tajiri..Lakini Afya yake Itadhoofu"

Post a Comment