Msanii wa bongo fleva RICH MAVOKO Ajibu TUHUMA za Kujichubua Mwili Mzima na Kuwe Mweupe

KUANGALIA PICHA HIZI HAKIKISHA UNAMIAKA 18+, BONYEZA HAPO CHINI


Msanii wa bongo Fleva Rich Mavoko amekanusha tuhuma za kujichubua Baaada ya blog hii kuweka Picha zake Hapa zikionyesha  Kuwa Mweupe tofauti na zamani...

Rich Mavoko amefunguka na Kusema Haya:
 “Lazima tuangalie wakati hizi picha zilipigwa, hio picha nikiwa na dred Locks ni yazamani sana na siku na simu bora wala application za kuedit picha kama sasa, Hii picha mpya nimepiga na Iphone” .
Rich Mavoko ameongezea kuwa “Hata maisha yangu yamebadilika,so ni kung’aa tu kwa mtu na sio kujichubua, wanaonijua watasema sijabadilika zaidi ya kung’aa tu“.
ANGALIA PICA ZA WASICHA WENYE MAKALIO MAKUBWA ZAIDI DUNIA, BONYEZA HAPO CHINI

0 Response to "Msanii wa bongo fleva RICH MAVOKO Ajibu TUHUMA za Kujichubua Mwili Mzima na Kuwe Mweupe"

Post a Comment